Startimes

Startimes

Azam Tv.

Azam Tv.

Tabibu Tv

Tabibu Tv

Kurasa Zangu

Wednesday, December 14, 2016

Usikose kusoma gazeti la TABIBU kesho Alhamisi kwa bei ya sh. 500/= tu. Fahamu undani wa magonjwa sugu na tiba zake kwa kutumia mimea asilia.
                                          Kwa habari za michezo na Burudani soma Tabibu.!!

Wednesday, December 7, 2016

Usikose kusoma gazeti la TABIBU kesho Alhamisi kwa bei ya sh. 500/= tu. Fahamu undani wa Magonjwa sugu na tiba zake kwa kutumia mimea asilia.
                               Kwa habari za Michezo na Burudani usikose gazeti la Tabibu.

Wednesday, November 30, 2016

Usikose kusoma gazeti la TABIBU kesho Alhamisi kwa bei ya sh.500/= tu. Fahamu undani na tiba ya magonjwa sugu kwa kutumia mbogamboga na matunda.

                                                                 Michezo wiki hii.!!

Wednesday, November 23, 2016


Usiache kusoma nakala yako ya gazeti la TABIBU kesho Alhamisi kwa sh 500/= tu. Fahamu undani wa magonjwa sugu na tiba zake kwa kutumia tiba asili.
                                        Kwa michezo na Burudani soma gazeti la TABIBU.

Wednesday, November 9, 2016

Gazeti lako bora la TABIBU linaloandika habari za afya pekee Tanzania kesho linapatika sokoni. Bei ni sh 500/= tu, Fahamu tiba, kinga ya magonjwa sugu mbalimbali kwa kutumia vyakula na matunda.
                                 Kwa habari za michezo + burudani usikose gazeti la Tabibu.

Wednesday, November 2, 2016


Usiache kusoma nakala yako ya gazeti la Tabibu kesho Alhamisi kufahamu kweme inatumika vipi katika tiba ya magonjwa mbalimbali. Ni kwa bei ya sh. 500/= tu.

                                          Kwa habari za michezo na Burudani usikose gazeti 
                                                             la Tabibu kila Alhamisi.

Wednesday, October 26, 2016

Wednesday, October 19, 2016

Fahamu kuhusu maajabu ya mti wa mvunge katika tiba.

Mti wa mvunge au Miegeya au Kigelia Africana kama unavyojulikana katika sayansi ya mimea ni mti unaostawi katika maeneo yenye ardhi yenye unyevunyevu na una tabia ya ustawi kama mwembe na huzaa matunda yanayofanana na mbuyu.Mti huo unaojulikana kwa jina la sausage tree katika lugha ya kiingereza hukua na kufikia urefu wa mita 20, hupatikana katika nchi nyingi za Afrika na baadhi ya nchi za bara la Asia. 

Mti huo unaoelezwa kuwa na uwezo wa kuongeza maumbile ya kiume na kwa upande wa wanawake una uwezo wa kuongeza makalio, mahips na matiti.
Sambamba na hayo, mti huo unaostawi zaidi katika mikoa ya Tanga, Pwani, Mbeya, morogoro na mingine, unaelezwa kuwa na uwezo wa kukabiliana na ugonjwa wa saratani ya kizazi na ngozi, malaria na nimonia. Faida zingine za mazao ya mti huo ni kutibu vidonda, matatizo ya tumbo kwa watoto, maambukizi ya fangasi na bakteria.

Hutibu upungufu wa nguvu za kiume, ugumba kwa wanaume na kuongeza hamu ya tendo
Utafiti uliofanywa na watafiti Owolabi na Omogbai mwaka 2007, ulibaini kuwa matunda, mizizi na majani ya mvunge yana uwezo wa kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume, kukosa hamu ya tendo la ndoa pamoja na upungufu wa nguvu za kiume.


Usikose kununua nakala ya gazeti la TABIBU kesho Alhamisi kwa bei ya sh. 500/= tu. Fahamu mti wa mwembe unavotumika katika tiba.
                                                           Tabibu michezo wiki hii.!!